2 Chronicles 20:20

20 aAsubuhi na mapema wakaondoka kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari, Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni, enyi Yuda, na watu wa Yerusalemu! Mwaminini Bwana Mwenyezi Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.
Copyright information for SwhKC